UTT Asset Management e Investor Services (UTT AMIS) é uma empresa de gestão de fundos que lida com o estabelecimento, lançamento e gerenciamento de serviços de investimento coletivo. A empresa também fornece o Wealth Management Service. UTT AMIS opera com base no Mercado de Capitais e Lei de Valores Mobiliários de 1994 (alterada) e Esquemas de Investimento Colectivo Regulamentos de 1997. Atualmente, a empresa administra cinco fundos que são Umoja, Wekeza Maisha, Watoto, Jikimu e fundos líquidos.
UTT AMIS ni kampuni ya uwekezaji yenye kuhusika n uanzishaji na uendeshaji wa mifuko ya uwekezaji wa pamoja.Kampuni hii pia inatoa huduma za usimamizi wa amana (Serviços de Gestão de Patrimônio) UTT AMIS inafanya kazi zake kutokana na sheria za masoko ya mitaji na dhamana ya mwaka 1994 (iliyorekebishwa) na Kanuni ya ya mifuko Uwekezaji wa Pamoja ya Mwaka 1997. UTT AMIS kwa sasa inasimamia mifuko mitano ya uwekezaji ambayo ni Umoja, Wekeza Maisha, Watoto, kujikimu na Ukwasi.